Aiisee Makamanda kwa comments wa Wana Uzi hapo juu tuzidi kumwamini Mwenyezi Mungu ipo tu na sisi Watoto wa Masikini Atatubariki hata kama itakuwa kwa njia tofauti na Majeshi tusikate tamaa tuzidi kumwamini tu yeye Aliye juu ndo anaegawa Riziki👏👏
Hawa wanaowaita Waasi nahisi bado wanadukuduku nao tu Kiongozi
Maana Hawa mwanzo wanarudishwa walikuwa 850 wakapimwa Mara ya kwanza wakabaki 600 na ushee hivi sahivi Tena wamepimwa wamebaki 500 bado Tena nahisi watapimwa pamoja na wazarendo wanotoka vikosini nahisi mpaka wataisha kwa namna hii...
Makamanda mbona hatupati mrejesho wa kundi la kwanza Usaili Kurasini Dar kupitia Makao Makuu
Je usaili umeisha au bado unaendelea maana Leo ndo ilikuwa mwisho, Naombeni Maelekezo kwa anayejua
Eti jamani ukishatuma na ikakubali huwezi Tena kuingia kwenye hiyo account au ni propaganda tu watu maana mimi nimetuma na imeniletea ujumbe wa thank u for you application lakini naweza kuingia Tena kwenye account yamgu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.