Recent content by Shinnok

  1. S

    Nimeamua kuacha kula maharage

    Maharage yanaharibu macho so nimeona bora niache kuyala au kupunguza kuyala kwa muda wa mwezi
  2. S

    Boda boda ni wambea sana

    Mwanamke unakubaliji kuolewa na hawa jamaa waendesha bodaboda ni wambea sana wafitinishaji ndio maana hayafanikiwagi
  3. S

    Ukimuuzia mtu kitu hakikisha anakupa pesa yote, habari ya kukupa nusu nusu mwisho wake si mzuri

    Hii biashara ya kumuuzia mtu kitu halafu uisikilizie kiasi kinachobaki huwa haina mwisho mzuri. Mfano umemuuzia kitu cha milioni 7 halafu akupe 5, milioni 2 akwambie atakulipa mwisho wa mwezi. Nakuhakikishia hiyo 2 ikifika mwisho wa mwezi hatokulipa atakuzungusha mpaka miezi sita au mwaka...
  4. S

    Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

    Jamaa ukicheki kwenye frji kuna kila aina ya kinywaji unachokitaka ma bia yamejaa bwelele na huwezi kukuta pamepelea hata kidogo. Mamisosi ya kwenda dah kuna watu wanaishi maisha matamu Sijui makuku ni jambo la kawaida vyumba safi kabisa
  5. S

    Kaa mbali sana na mtu unayejua au unayehisi anakuchukia

    Ukiona mtu damu yako na yake haziendani yani hakukubali kaa naye mbali jiepushe naye kabisa kaa naye mbali. Kama unanamba yake ifupe upesi usiangalie status zake wala wewe asiangalie status zako. Haijalishi ni shangazi mjomba rafiki nk kwa kuwa tu damu zenu haziivi jiepushe naye
  6. S

    Kwanini mtu akiwekewa mkojo kwenye bia anazima?

    Muwekee demu chap anazima unamgonga kirahisi
  7. S

    Kwanini mtu akiwekewa mkojo kwenye bia anazima?

    Shauri yako sasa siku kunywa pombe nenda chooni huku nyuma wakuchanganyie na mkojo uone balaa lake. Bora uwekewe ugoro kuliko mkojo
  8. S

    Kwanini mtu akiwekewa mkojo kwenye bia anazima?

    Kwa nini mtu akichanganyiwa mkojo kwenye bia anazima?
  9. S

    Kwenye maisha usiruhusu kila mtu akuzoee ni KOSA kubwa mno pia weka muda maalum wa watu kukupigia simu

    Ukiwa unaingilika ingilika kirahisi utajishushia heshima weka limits za watu kukuzoea. Wengine salamu tu inatosha wasikuzoee sana Kawaida ya mbongo akikuzoea anakushusha thamani ndo maana hata wasanii somo lao kubwa kwenye kazi zao za sanaa ni kujiweka mbali na mazoea yani kutojichanganya...
Back
Top Bottom