This is poor research haina utaalamu wowote inaweza kutolewa na mtu yeyote anaetazama muvi mara nyingi..... Hebu mtupe research za kitaalamu sio za kijinga hivyo! mwandishi inabidi arudie research yake sio atuletee research za mwaka 1961. watanzania wameelimika sana kwa sasa.......
[
Ni ajabu sana na aibu kwa idara yetu ya geologia UDSM eti short course inatolewa na imedhaminiwa halafu inalimitiwa watu 20 tu wakati darasa lote lina wanafunzi 33 isitoshe tunachrgiwa 20,000/= ambayo kiukweli haieleweki ni ya nini na kibaya zaid lecturers wanakua na watu wao (bias selection)...
Mkuu!
Kumbuka kipindi wakristo wanaenda shule ninyi mlisisitiza madrasa ndio maana kwa mtu kujiunga na upadri elimu ya chini ni form six na anaendelea kusoma miaka mingine si chini ya sita so automatically shule kwa wakristo itasisitizwa lakin mpaka sasa kuna waislam wanaelimu ya juu ya kiislam...
CCM kweli hamnazo bado mnafikiri Tanzania ya leo ni ya 1990 iliyokua ya wazee wenye ufinyu wa mawazo na mawazo ya kizee yanayodharau vijana! huu ni wakati wa vijana na ni wa mabadiliko kweli 2015-CCM-OUT!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.