chama hiki kilishazeeka na kufa kitambo,kimebaki kulindwa na dola+mfumo mbovu wa uchaguzi tu! kwa sasa dola inaparaganyika na tutegemee mazishi yake hivi karibuni,hakiwezi kudharau maoni na mawazo ya wananchi then kikabaki salama,hata wanachama wake wa ngazi za chini tofauti na hii misukule ya...