Kama mgombea aliyeshindwa ni kiongozi wa chama (mwenyekiti, m/mwenyekiti, katibu n.k) wa ngazi ya kitaifa, mkoa, wilaya, jimbo, kata au kijiji/mtaa husika inakuwaje? Ina maana inabidi asifanye shughuli za kisiasa ktk ngazi hiyo?
Hili tamko lina matatizo mawili;
1. Halina time limit (hajasema...