Recent content by Shimoyo

  1. S

    Afisa Elimu Msingi Tandahimba awalazimisha Walimu Wakuu kuchangia mitihani ya utamilifu kwa pesa za mfukoni mwao

    Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba anawalazimisha walimu kuchangia mitihani ya utamilifu ngazi ya mkoa kwa pesa za kutoka mifukoni mwao. Afisa huyo ajulikanaye kwa jina la Samuel Mshana ambaye amehamia kwenye halmashauri hiyo hivi karibuni akitokea Halmashauri ya wilaya...
  2. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Sina namba yake mkuu, kama unayo nitumie DM nimtwangie fasta, ndugu zake wanateseka sana mkuu.
  3. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Wapinzani watabadili mbinu na watatafuta namna nzuri ya kukabiliana na hujuma. Huwezi jua mkuu.
  4. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Kwahiyo ndo maana hawa polisi kwa kushirikiana na wateule wa Rais wanaona ni vema tu kuwatesa wapiga kura wao? Leo hii amekamatwa hata diwani wa kata ya hapa mjini mzee Chipande akiwa anatoka kufuatilia ujenzi wa madarasa unaoendelea kwenye shule ya sekondari Nandonde.
  5. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Umeonaeee, huyu DC mwache ajichekeshe na hawa wahuni akina Tesha. Atakuja kujuta kwa tamaa za fedha kiduchu za kunywea pombe pale ghorofani.
  6. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Mkuu, hiyo kamatakata ya jana ilikuwa si ya kitoto. Yaani walikuwa wanapita maeneo ya maduka kisha wanakusanya pikipiki za wateja hasa waliotoka vijijini na kuzipeleka kituoni ambako wengi wao hutozwa faini pasi kupewa risiti halali za EFD.
  7. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Mkuu hili jimbo lina watu makini sana, ila kinachoshangaza inapofika nyakati za uchaguzi aidha wa kwenye vyama vya siasa ( hasa kwa chama tawala) utastaajabu hao watu wanaoomba kugombea hizo nyadhifa. Wengi wao ni wale wasio na elimu ya kutosha hivyo hawana hata uwezo wa kukemea au hata...
  8. S

    2025 jimbo la Tandahimba litakuwa la kwanza kubebwa na wapinzani

    Salaam. Kila anayefuatilia masuala yahusuyo siasa atakubaliana nami kwamba katika mkoa wa Mtwara, jimbo la Tandahimba ndilo linaongoza kwa siasa za upinzani. Katika uchaguzi mkuu uliopita CCM walilikomboa jimbo hili toka mikononi mwa CUF ambapo mbunge aliyeshinda uchaguzi mkuu wa 2015...
  9. S

    Afisa Elimu msingi Tandahimba amewahamisha walimu bila kuwalipa stahiki zao

    Ni mwanamama asiyezingatia wala kuheshimu sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi. Wiki iliyopita amewapatia barua za uhamisho walimu zaidi ya 30 wakihamishwa toka vituo vyao vya zamani kwenda vituo vipya vya kazi. Kati yao hakuna aliyelipwa stahiki zake zikiwemo posho ya usumbufu au ile ya...
Back
Top Bottom