Katika ziara yake Mkoani Kagera kwenye ufunguzi wa Uwanja wa ndege wa Bukoba, Mheshimiwa alijinasibu kuwa yeye ni Mzilankende wa hapo na akataja jina la Babu yake mzaa baba yake aliyekuwa anauza ugolo! Sorry jina nimelisahau ila akasema alikuwa anaishi mtaa wa uswahilini! Na alikuwa maarufu sana...
Kwanza hakuna Kabila la Ntuzu, bali ni moja ya Utemi uliokuwa na influence kubwa sbb ulizaa Temi zingine wakati wa migration from "the north" ambalo ndo limezaa jina la kabila lao.
Originally Wasukuma walikua Matrillinear, ie mali ukuu na urithi ulikuwa kwa Mama! Mf kama Mtemi akifa anarithiwa...
Pasco,
Tuna msemo wa kupambana ili maisha yawe mazuri ili tuweze kuenjoy "walwa" yaani pombe, nyama inaeleweka na (........) yaani kiungo cha uzazi cha mwanamke[emoji1] [emoji2] [emoji3]
Sent from my SM-A700H using JamiiForums mobile app
Mkuu Pasco,
Chagulaga haiko maeneo yote ya Sukumaland isipokuwa maeneo ya igunga, Kishapu, Meatu, na Maswa! Maeneo mengine yote huwezi kusikia!
"Chagulaga" ni nini? Ni kitendo cha Vijana wa kiume wasiooa kumfuata Binti asiyeolewa na kuombwa achague mmoja wa kuongea nae. Hii ni baada ya ngoma...
Kwani Kazi ya Watemi wa Sukumaland na mfumo wao wa usimamizi wa mila na desturi ni nini?
We know each other in Sukumalsnd or elsewhere! FYI wasukuma wengi wamehamia maeneo mengine in large groups! Wote wanajulikana and maintain their identity!
Sent from my SM-A700H using JamiiForums mobile app
Dr. Benson Bana alikuwa disqualified Masters ya P S 1994 Udsm ndugu yake Rwekaza Mkandara akacheza mchezo wa Ukabila akamwokoa! I was there! So usitegemee lolote la maana toka kwake!
Kizazi cha manadiliko ni kazi yenu kuuelimisha Umma watu wa aina yake wanaoishi kwa fadhila za mfumo huu dhalimu.
Le Mutus, Salute! Hebu tukumbushe JKT ulikuwa Operation gani na ulikuwa mambo gani kuandaliwa kwenda kupigana vita vya Kagera? So vibaya ukitaja pia force namba yako na namba ya Kikosi chako uli kuthibitisha usemayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.