Ninategemea kuwepo dsm kwa miezi mitatu , nina miliki Gari ndogo Toyota Wish sasa issue inayonileta mjini ni masaa 8 per day kuanzia saa 9 nakua free na weekends nakuwa free sasa nawaza huo niwe napiga kazi ya uber/bolt kuingiza chochote kitu. Sasa sijui taratibu zake za kujiunga zinakuaje na...
Habari za muda huu Wakuu? Msaada kwenye tuta nina rafiki yangu kwa sasa yupo South Africa 🇿🇦 sasa Visa/Passport aloingia nayo kule inabidi asome course ya OCCUPATION AND HEALTH SAFETY haiwezekani kubadilisha sasa je course hii akirudi hapa Bongo anaweza kufanya kazi gani? Na issues za kuajiriwa...
Inabidi niende chuo cha kuhamia nipate nafasi then nirudi UDOM nifanye like registration then niombe transfer (within 30 days) ndio naweza kuhama kwa mtu anaejisomesha mwenyew it's easy, lakini kwangu mimi scholarship inanitaka nipeleke admission letter before kwenda University so currently...
Habari wana Jamvi, mimi ninaomba msaada nilijiunga Na UDOM mwaka 2021/2022 lakini kwa changamoto fulani nikashindwa kuendelea na Masomo nika postpone nikarudi mtaani sasa nimepata Scholarship nataka kurudi kuendelea na chuo je kuanzia mwaka wa masomo 2021/2022 hadi sasa 2023/2024 bado nitakua...
Mimi nilianza UDOM 1st year November 2021 lakini kutokana na Matatizo ya nje ya uwezo wangu nikasitisha masomo sasa napenda kujua hii registration yangu as UDOM student inakua valid kwa miaka mingapi, yaan naruhusiwa kukaa miaka mingapi then kurudi tena chuo
Why in preparation of artesunate we start to add 1 ml of of sodium bicarbonate then we add 5mls of 0.9 sodium chloride? What will happen if you start to add 5 mls of 0.9 sodium chloride then 1 ml of sodium bicarbonate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.