Wakuu naombe mnijuze faida za ufugaji huu wa kisasa wa kuku wa mayai kwenye cages! Nimekuwa mfugaji kwa muda kidogo ila tatizo ni kuku kudonoana, nimesikia ufugaji wa cages unamaliza kabisa hilo tatizo pia ubora na wingi wa mayai, kwa wale wenye uzoefu naomba mnijuze kama kuna ukweli kwani...
Kuna ndugu wengine wana tabia mbaya sana hata umbembeje hawafai, unamsaidia kwa moyo matokeo yake anakukashifu mbaya ukute ni kaka na.mke nae anakutusi wanaona wao wana haki ya kusaidiwa na kazi hawataki kufanya..mwishoe mtu unachoka unawaacha wafe na shida zao..usione ndugu anaganga njaa...
Nas
Asante sana kwa ushauri jr!! Ugumu unakuja pale hela niliyotumia ni mafao yangu pamoja na hela ya mkopo niliyokopa nikiamini tutairejesha kodi itakapoanza
Asante sana kwa ushauri jr!! nikisema niwaachie wanangu watateseka kwa vile mafao yangu yote nilipeleka pale na mkopo juu...naumia...
Jamani hili jambo mbona kama ni mimi mnanizungumzia!!! Yaani najiuliza mpaka leo familia yetu ina laana gani sipati jibu, mimi pekee ndo kidogo nilipata kuinuliwa nikarudi kuinvest nyumbani baada ya kuona hali za ndugu zangu na mama ni tete! Umaskini ulitawala inhali mali za baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.