Recent content by shilati

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

    Leo unamsifia myahudi,kesho inasema myahudi asilia siyo huyu,huyu ni mzungu tu katokea ulaya!Hamueleweki kabisa nyie waja
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

    Hivi unaelewa ninaposema "hawaamini injili?Au naongea na andazi hapa!!!
  3. S

    JamiiForums Tanzania My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

    Nipe hiyo aya ya kwenye biblia inayosema jiwe takatifu lipo kwenye nchi takatifu
  4. S

    JamiiForums Tanzania Bei za nauli za treni za kwenda Morogoro na Dodoma zinatakiwa ziwe juu zaidi ili kuweka uwiano wa biashara kati ya mabasi na treni

    Point yako ni nzuri sana,ila uliposema "Tena raisi mwenyewe ndio huyu" umeharibu.Unaonekana una chuki na raisi aliye madarakani.Sasa raisi ana shida gani?Unatakiwa ukubali kuwa hii nchi uraisi ni kupokezana.Na Kila raisi ana mazuri yake na mabaya yake.Uliamini kuwa magu ni mungu na hakuna wa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

    Wayahudi wanaamini biblia bna usidanganye.Kuanzia kitabu cha mwanzo hadi Malaki hiyo wanaamini na kuvifuata pasi na kuacha hata nukta moja.Wao hawaamini injili tu.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ifahamu kwa kifupi Korea Kaskazini

    Watu wanaongea fact,wewe unaleta siasa!Tanzania kuna mtu anazuiwa kunyoa kiduku?Watu wanazuiwa kwenda nje ya nchi?Mara ngapi raisi anahutubia huku baadhi ya Watu wanasinzia?Waliwahi kupigwa risasi?Kuongea kiingereza ni kosa la jiai hapa bongo?Kuangalia muvi za nje he?Tungewajua kina Anodi,Van...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Israel wanaendelea kushambulia makanisa huko Lebanon

    Mbona huwa mnasema Wayahudi hawa sio wale wa kwenye biblia?Sasa tuamini lipi!
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani yanaisujudia Israel waliyoiunda wenyewe

    Hao nao ni miongoni mwa waarabu wa Sasa.Kizazi cha Ismael kimeungana na cha Essau kumpigania na Yakobo
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani yanaisujudia Israel waliyoiunda wenyewe

    Hapo ndo mnapofeli.Kwa huo na wewe unawahusudu sana waisraeli sio?Ukisema Waisrael walikuwa Waislam maana yake hata wewe unawahusudu.Waistael walikuwa watunza Sheria ya MUNGU (torati).Sasa tangu lini waislamu wanatunza amri za MUNGU!Tafuta taifa lolote duniani kama utapata taifa linalotunza...
  10. S

    JamiiForums Tanzania LGE2024 CHADEMA ikikomaa itashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    🤣🤣
  11. S

    JamiiForums Tanzania Wasichokijua wengi kuhusu Israel

    Hizi ni propaganda tu za kupotosha ukweli.Huwezi kuutofautisha uyahudi na Waisrael.Dini asili ya Waisrael ni Wayahudi kama ilivyo dini ya Induism kwa wahindi.Muisrael kuwa muislam au mkristo hiyo haiondoi ukweli kuwa Waisrael dini yao ya asili ni Judaism.Kama sivyo Kwa nini dini ya kiyahudi...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Ndege hatari 100 za IDF zafanya mashambulizi makubwa na kusambaratisha maeneo 120 yaliyo ngome kuu za Hezbollah Lebanon kusini

    Kwa akili ya kawaida:Waisrael lugha yao asili ni kiebrania,na ndicho kilichotumika kuandika vitabu vya Mungu Kwa mkono wa manabii.Leo hii taifa linalozungumza kiebrania kama lugha yao ya taifa ni hao hao unaodai sio waisrael.Unatakiwa utuambie Waisrael wenyewe wanapatikana nchi gani Kwa...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Wasichokijua wengi kuhusu Israel

    Unaposema waisrael wa kweli ni Wapalestina,Wasyria na Lebanoni ndo unazidi kutuhakikishia kuwa mungu wa Quran ni muongo.Kwenye Qr 5:82 inasema walio maadui na Waislam ni mayahudi.Na leo hii tunaona Wayahudi wanachukiwa sana na waislamu duniani kuliko taifa lolote duniani.Leo unapotuambia...
  14. S

    JamiiForums Tanzania RUSSIA ALERTS IRAN: 4 ISRAELI F-35's Inbound Over Persian Gulf Toward Iran

    Unaweza usiamini ila huu ndo ukweli wenyewe.Shetani hampendi mwanadamu hata kidogo.Juhudi zake ni kuhakikisha anamuangamiza Ili kumkomoa Aliyemuumba.Haonekani, ila kazi zake zinaonekana.Anawatumia wanaadamu kuwashawishi Kwa sababu zisizo na kichwa Wala miguu,waue wenzako,Kwa faida yake.Hata hao...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Israel ya Wayahudi inatambulika kwenye Quran zaidi ya mara 40, Wayahudi wana haki ya kulinda eneo lao

    Emechanganya ukweli na uongo.Yesu haji kumpigania mtu.Anakuna kuwachukua wateule wake(YOHANA 14:2). Halafu Yesu Hana haja na Yerusalemu hiyo ya uyahufi.Yerusalemu mpya utashuka kutoka mbinguni na watakatifu wake aliowakomboa. Watakatifu wataishi ktk mji huo mile zote.Vilio...
Back
Top Bottom