Umekosea form 1-4 ni zaidi ya 10m. ada sasa private school ni 2,000,000/= mpaka 3,000,000/= bila matumizi mengine km madaftari, track suit za michezo, raba joz 2, mazoezi, michango ya ujenzi, nauli na nk.
St. Kayumba kutoka kule katerelo ada ya 40,000 kwa mwaka ilikuwa ni mtihani, leo hii...