Jamani nina ndugu yangu anataka kusoma bachelor of science in irrigation and water resources engineering pale sua,mim sina uelewa wa kutosha juuu ya kozi iyo na je ina future,mwenye kuelewa vizuri anisaidie ili nami niweze kumsaidia uyu ndugu yangu.
Kama serikali haijawah tumia ca walikua wanapeleka wapi? ca hzo mana zilikua zikikazaniwa sana ,Lakina kwa ufupi tuache kutetea makosa kwan matokeo ni mabaya sana kama tunafuata academic ifanye kaz yake,ila kama ushabiki wa kiasisa fresh 15% imeongezeka,Leo mnasema 15% imeongezeka ila taifa...
Wewe dogo embu tuweke wazi manake hainingii akilini uwe na ufahuru uo alafu uwe na lifour haya weka number tukupe matokeo manake na kuchanganyikiwa kumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.