Bibi alimpa hawara eneo na baadae akamnyang,anya na kuliuza kwa mh mbunge.sasa hapo mbunge anahusikaje? Yeye anachopaswa kufanya amfungulie kesi huyo bibi kwa kumpa eneo hadi akajenga na kisha kumnyang,anya na kuliuza kwa mh. Mbunge. Na imani atamshinda huyo bibi kwa kuwa makaratasi anayo ya...
Sasa nimeelewa, ni hv, kwanza, si kweli mbunge amemdhurumu bw hawara.bw. Hawara alipewa nyumba hy na bibi hawara na baadae akanyang,anywa na kuuzwa sasa mbunge anahusikaje hapo? Hvy mtu mbaya kwa huyo kijana ni huyo bibi aliyempa eneo kisha akamnyag,anya. Nitoe wito kwa wote, msitegemee mali za...
KAMA SIYO YATIMA, BASI TUONESHENI WAZAZI WA HUYO KIJANA . JE ALIFIKAJE KWA HUYO BIBI. MWAKA GN, MAJIRAN WANAJUA NINI KUHUSU HILO, MKATABA WA KUUZIWA ENEO HILO KW MH MBUNGE UWEKWE WAZI TUJUE ENEO LILILOHUSIKA KUUZWA, MASHAHIDI WALOHUSIKA KWENYE MAUZIANO HAYO, PIA LAZIMa tujue kijana alipewa lini...
lazima uamini.kwani we hupendi demokrasial? Au hupendi na maendeleo? Kwahiyo chadema ni demokrasia na maendeleo chanya daima.hvy mwakyembe, mangula.nk ufahamu ukiwarudia watarudi chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.