Hivi kuna sera mbaya kama ya mtoto wa kambo- Ukichagua Upinzani sipeleki maendeleo' na kweli sehemu za wapinzani hakuna kitu kinaenda. Mbona sio deal leo iweje sera ya majimbo yenye ugatuzi wa madaraka iwe shida?
Nani anaua mshikamano, kati ya hizo sera mbili?
Wewe unaejielewa hujui kuelewa na pengine unashangaa inakuwaje...wale wana halmashauri...lakini nikusaidie tu hebu waulize nduguzo hiyo miundombinu imejengwa kwa fedha za nani? Pengine itakusaidia kujifunza na kujielimisha.
Sio kila kitu kinatoka kwa kodi yako.
Ukijua chanzo cha fedha, njoo...
Wewe na umekuwepo Kigoma lini? Ashindwe kujenga hata kipande cha Manyovu Kasulu aje aweke taa kwa Mpinzani ambako hana faida nako? Sijawahi mkubali Zitto kwa kuwa hutanguliza maslahi yake binafsi lakini kwa hili hapana. Amekuwa kuwadi mwema kwa Kigoma. Mkuje na ngonjera nyingine.
Ndio shida yenu, mpo kwa ajili ya personalities...asemae ukweli basi ni mpizani. Mimi sijawahi kuwa ACT wala kuwaza. Lakini kama kusema ukweli ni kuwa ACT basi na iwe.
Suala sio taa kuwa kitu kikubwa, ni kuwa MaCCM ndio wanatishia watu kuwa hawataletewa taa wasipochaguliwa. Jibu ni kuwa taa zipo...
Sasa mwananchi na Mkuu wa nchi nani anatakiwa aijue nchi-eneo lake sana...yaani wewe wa kuja kisa tumekasimisha madaraka basi ujue vumbi la ndani wapi limejificha kuliko mimi mwenyenyumba? Hebu tuweni na heshima na wananchi, wanajua nani amekuwa mkombozi wao. Hizi nyingine ni kelele tu
Inashangaza mno, amekuwa serikalini...nenda kwao Buhigwe kaangalie alichofanya....mwacheni Zitto aitwe Mwami...jamaa ni mhuni sana kwenye maslahi ya Kigoma, yupo tayari kuuza timu ili Kigoma ipate kitu. Hongera Zitto
Unapafahamu Buhigwe lakini wewe....acha kudanganya watu... Zitto ni Kigoma na Kigoma ni Zitto. Sijawahi mkubali kwa baadhi ya mambo ila amepafanya Kigoma kuwa tofauti. Wakati nyie mnatishiwa taa na rami za mitaani Kigoma zipo. Hebu kukubali basi japo kwa machache mtu kafanya. Hongera Zitto kwa...
Naomba kujua jumla ama mgawanyo wa wananchi wapiga kura..wanachana n idadi yao na wasio wanachama...
Ukitaka kujua chama chako sio cha wanachama tu ni mbinu ipi itakusaidia kujua kuwa unakubalika na kwa wasio wanachama...
Kisha njoo na hitimisho utuonyeshe kwa vigezo vyako nani anakubalika...
Ila huu ni uzembe, ni kama hawakujipanga..yaani kama hakuwajua kuwa Mwaka huu kutakuwa na uchaguzi na watatumia vifaa vip waviandae...nahisi wanahujumu wananchi wenye kupenda mabadiliko...
Nadhani unamanisha kuwa upinzani utaongezeka mara dufu, maana rais wangu ni rais wa visasi...anasema waziwazi hatapeleka maendeleo mahali watachaguliwa wapinzani...
Ingawa alikuwa anakuwa rais ambae angefuta kweli upinzani kama tu serikali yake isingekuwa ya chuki na visa.
Ila akirudi...
Hii kitu kwa kweli inamuumiza mno, kama hawataki mtu ajitoe basi kuwe na uwezakeno wa kuikopa hiyo michango yako japo 80% ya kile mtu kachangia ajifanyie maendeleo yake. Ile michango inakuwa ndio dhamana yake.
Ingefungua Ajira nyingi na watu kwa watu kujiajiri na kutoa fursa kwa wengine-new...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.