Umesema kaka, baada ya uchaguzi mitandao ya kijamii itabaki safi na kazi kwa TCRA zitapungua sana.Chadema Baada ya uchaguz sijui wataweka wap sura zao
Kauli yangu imebeba maoni ya watanzania wenye uchungu wa dhati wa nchi yaoSema jemedari wako na sio watanania we vp babu, miaka 59 imetosha
Delete ccm Oct 28
Mwaka huu CCM wataacha kovu lisilopona kwa upinzani. Amini hiliHizi ni njozi za alinacha tu, tunaingia ktk nguvu ya soko la kunadi sera za vyama kama "supply" na pia tunasikilizia muitikio wa wapigakura kama "demand". Hicho unachotaka kutuaminisha ktk mada yako mbona ni kama ndoto za alinacha pia.
Umesema kaka, baada ya uchaguzi mitandao ya kijamii itabaki safi na kazi kwa TCRA zitapungua sana.
Ni fikra zinazobadilika baada ya wenye fikra za kuwa wapinzani kupata wanachokitaka, nacho ni maendeleo ya kweli.Kama upinzani kufa, basi ilikuwa ni kipindi hiki cha hii miaka mitano ya mwanzo. Kama hilo limeshindikana ndio ataweza kwenye awamu yake ya mwisho kama atashinda? Kwa ujumla, udhaifu na uimara wake kila mtu ameujua, hatakuwa na lolote jipya zaidi ya haya aliyoyafanya sasa zaidi ya kukamilisha miradi aliyoianza, iwapo ataweza kabla ya kutoka madarakani. Hao waliofanikiwa kuwa washabiki wake ndio hao hao, lakini hana uwezo wowote wa kuwabadilisha wasiomkubali, na hawatabadilika. Upinzani sio vyama bali ni fikra, na hilo halitakufa kamwe.
Mwaka huu CCM wataacha kovu lisilopona kwa upinzani. Amini hili
Watu kama wewe wenye mawazo kama yako uwa wanapotea baada ya kuona wapo pekee yao kwenye mapambano ya wasichoamini kama ni sahihiTuko huku mitandaoni kabla Magufuli hajawaza kuwa rais wa nchi hii, na ameingia madarakani bado tuko na mitazamo yetu hii hii. Tuko kwenye upinzani kwa mitazamo, na hatuko kwenye upinzani kwa kufuata mkumbo.
Ni fikra zinazobadilika baada ya wenye fikra za kuwa wapinzani kupata wanachokitaka, nacho ni maendeleo ya kweli.
Watu kama wewe wenye mawazo kama yako uwa wanapotea baada ya kuona wapo pekee yao kwenye mapambano ya wasichoamini kama ni sahihi
Sio mbumbumbu ni mfumo tu,unafikiri Warusi ni mbumbu?Au Korea kaskazini ni mbumbu,au China ni mbumbu.
Weka akiba ya maneno yawezekana hata wewe unakariri kama kasuku.
mlishawishi sana wabunge waunge juhudi kwa kudhani upinzani 2020 hautakuwepo, sasa mnayoshuhudia hadi mnalewa vibe la upinzani hahahaImani tuliyonayo watanzania kwa jemedari wetu wa mapambano dhidi ya ufisadi, rushwa, uhujumu uchumi na uzembe ni wa kiwango kisichotiliwa shaka yoyote hususani kwa tukio lilipo mbele yetu la uchaguzi. Binafsi , mimi ni mmoja wa waumini safi wa kazi na misimamo ya Rais Magufuli kwa rasilimali zetu , sina shaka na maoni haya hata kwa walio wengi.
Tulianza naye safari pamoja na kwa hakika safari ya kuelekea nchi ya ahadi mwaka 2020- 2025 tutakuwa naye pamoja. Ahadi ya elimu bila malipo, kudhibiti upotevu wa mapato, matumizi bora na sahihi ya kodi za watanzania, miundombinu rafiki ya kuchochea uchumi na maendeleo ndio sababu ya imani kubwa tuliyonayo watanzania kwa Rais Magufuli. Si rahisi hata kidogo kufanya anayofanya Rais Magufuli bila kuwa na uthubutu
Ni mengi sana mazuri aliyofanya kwa nchi yetu na yale ambaye hajafanikiwa kuyafanya ni changamoto zinazohitaji muda zaidi na ndio maana tunasema miaka 5 ijayo Tanzania itaonesha maajabu makubwa sana kimataifa na wengi kustaajabishwa na uthubutu wa kiongozi huyu. Ni mitano tena kwa Magufuli
Awamu ya pili ya Rais Magufuli kwa waliojaliwa kuangalia mambo kwa jicho la tatu watakubaliana nami kwamba ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa upinzani kwa sababu kuu mbili: mosi, upinzani utakuwa umeshuhudia nguvu na uwezo halisi wa CCM na kwa kuwa watakuwa wametumia nguvu na uwezo wao wote kuitoa CCM madarakani na wakashindwa basi mwisho wa upinzani ni dhahiri. Pili, katika awamu ya pili ya Rais Magufuli yatafanyika makubwa sana katika taifa hili ambayo watanzania wataachana na fikra zote na mawazo yote ya upinzani kushika dola na kukubali CCM itawale milele.
Nawashauri wapinzani na upinzani kwa ujumla wajiandae kwa mwisho huu wenye maumivu makali lakini hakuna namna wa kurudisha wakati nyuma kuwashawishi watanzania kuikataa CCM.
Huwezi jua kuwa upinzani umeisha mpaka baada ya uchaguzi.Kama mmeshindwa kuumaliza miaka hii mitano ambayo, mmefanya siasa wenyewe, kuwateka na kuwatesa, kuwabambikia kesi nk, kwa sasa sahauni kabisa hiyo habari