Recent content by shichandao

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wanywaji wa Maji ni Maji Gani!? Yana radha nzuri kwa mwaka 2024

    Cool blue yamepitishwa kimataifa na hutumika kwenye balozi nyingi hapa nchini eg US Embassy.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

    Sijazungumzia Marekani mkuu. Andiko lako juu ya makusanywa ya DP world na maendeleo yatakayopatikana hakuna uhalisia.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

    Ajuza ukijifanya mpambanaji lazima utapigwa na vijana. Ushauri wangu kwao ni kutulia na kucheza na vitukuu.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

    Maendeleo ya taifa hili kwa ujumla wake yataletwa na DPW kama ulivyoorodhesha kwenye bandiko lako.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

    Wamekusanya hizo,hamjatuambia wakitoa gharama zote chengi ni kiasi gani. Tunaomba jibu. Kama makusanyo ya DPW yamefanya hayo yote uliyosema,hakuna haja tena kwa watanzania kulipa kodi yoyote. DPW hoyeeee.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

    Serengeti boy niko vizuri natunzwa ila unamteteaje mtu ambaye umekiri humjui na kusema yuko vizuri.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

    Wazee wa nchi hii ni mafisadi na wazulumati ile mbaya,siyo wa kuonea huruma hata chembe. Yaani wewe kama unaishi maisha haya seems ufisadi uko kwenye damu. Na miaka 80 ni bora ukamrudia Mungu na hizo mishe waachie wajukuu sasa.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

    Ajuza alichezea ujana wake ndio maana anahangaika sasa. Atulie kwenye wheel chair.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Wanywaji wa Maji ni Maji Gani!? Yana radha nzuri kwa mwaka 2024

    Hatari sana. Kigezo cha maji yapi ni mazuri kwa afya ni "composition "
  10. S

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa mipango Dar: Usafiri wageuka tatizo baada ya mkesha Mwamposa

    😃 😀 😄
  11. S

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa mipango Dar: Usafiri wageuka tatizo baada ya mkesha Mwamposa

    Duh. Umepona mkuu.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa mipango Dar: Usafiri wageuka tatizo baada ya mkesha Mwamposa

    Uko sahihi kabisa. Kwa lile janga la Moshi miaka kadhaa iliyopita,alitakiwa awe gerezani kwa kesi ya mauaji.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa mipango Dar: Usafiri wageuka tatizo baada ya mkesha Mwamposa

    Mbona Mwamposa hana dhehebu ana kampuni tu,na mtu yoyote anaweza kuwa mteja wake.
  14. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    Pia ana PhD nyingi sana
  15. S

    JamiiForums Tanzania US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

    Ni US dollar pekee imeshuka au na currency nyingine zote zimeshuka dhidi ya tshs?
Back
Top Bottom