Wamekusanya hizo,hamjatuambia wakitoa gharama zote chengi ni kiasi gani. Tunaomba jibu. Kama makusanyo ya DPW yamefanya hayo yote uliyosema,hakuna haja tena kwa watanzania kulipa kodi yoyote. DPW hoyeeee.
Wazee wa nchi hii ni mafisadi na wazulumati ile mbaya,siyo wa kuonea huruma hata chembe.
Yaani wewe kama unaishi maisha haya seems ufisadi uko kwenye damu. Na miaka 80 ni bora ukamrudia Mungu na hizo mishe waachie wajukuu sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.