Recent content by Sherusheru

  1. S

    ACACIA: Response to Allegations on Gold/ Copper Concentrate Exports

    Kichekesho yani mtu anakuibia halafu anakuomba msahama kisha nawe unakubali yanaisha
  2. S

    ACACIA: Response to Allegations on Gold/ Copper Concentrate Exports

    Mliipitisha hiyo mikataba kwa mbwembwe mkimbeza kila aliyejaribu kuhoji leo mnarudi kutuhadaa eti tunaibiwa sana wakati nyie ndio mliohalalisha wizi huo nyambafuu!!
  3. S

    Ni rasmi sasa sakata la mchanga litatugharimu

    tulishameza ndoana mkuu viongozi wa CCM walishapiga vyao mapema
  4. S

    Mkapa defends Tanzania's minerals policy

    kweli mkuu alituita wapumbavu kwa kuwa alituibia sana tukawa tunampigia makofi tu
  5. S

    Serikali yasitisha uzalishaji wa dhahabu ktk migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu

    sio rahisi kama unavyovunja kibubu chako
  6. S

    ACACIA ni wezi, tukiungana hawana uwezo

    Vipi ile meli ya samaki alipiga mahesabu ya karibu ndio maana nchi ikalipa fidia
  7. S

    RC Gambo ameivua nguo serikali na mamlaka iliyomteua

    kwa hiyo nikiwaalika waandishi wa habari kwenye msiba imekuwa suala la kisiasa?? mbona kwenye msiba wa ndugu yake kikwete walikuwepo? au misiba ya familia za watawala ndiyo pekee yenye haki ya kuwa na waandishi wa habari? mene mene tekeli na peresi
  8. S

    Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

    Kesi nyingi za serikali zinazopelekwa mahakamani ni vichekesho kwani huwa na mapungufu mengi kuanzia kwa mwendesha mashtaka hali inayopelekea wahalifu wengi kuachiwa kwani majaji wanakosa vifungu vya kisheria vya kuwatia hatiani
  9. S

    Sio kweli kuwa Mnyika ndio amesababisha mahakama kutoa zuio la bomoabomoa Morogoro road

    Yani Bashite angesema ndiye kawezesha zuio angeshangilia meno nje nje!!!
  10. S

    Hili ndio CCM hawataki kuliamini, Lowassa unabii wako utatimia!

    Walibya wamekuambia hivyo? au ni mtazamo wako? je ni tabaka lipi linalolalamika, watawala wa zamani au wapya? tambua kuwa enzi za Gaddafi kuna tabaka lililokuwa linafaidi na tabaka lililokuwa linanyanyasika sasa upepo umebadilika
  11. S

    Mwigulu Nchemba: Dhambi hatuwezi kuipa jina zuri na baadae tukaitukuza

    ila waliowapa mimba kuendelea na masomo ni sawa......
Back
Top Bottom