Mliipitisha hiyo mikataba kwa mbwembwe mkimbeza kila aliyejaribu kuhoji leo mnarudi kutuhadaa eti tunaibiwa sana wakati nyie ndio mliohalalisha wizi huo nyambafuu!!
kwa hiyo nikiwaalika waandishi wa habari kwenye msiba imekuwa suala la kisiasa?? mbona kwenye msiba wa ndugu yake kikwete walikuwepo? au misiba ya familia za watawala ndiyo pekee yenye haki ya kuwa na waandishi wa habari? mene mene tekeli na peresi
Kesi nyingi za serikali zinazopelekwa mahakamani ni vichekesho kwani huwa na mapungufu mengi kuanzia kwa mwendesha mashtaka hali inayopelekea wahalifu wengi kuachiwa kwani majaji wanakosa vifungu vya kisheria vya kuwatia hatiani
Walibya wamekuambia hivyo? au ni mtazamo wako? je ni tabaka lipi linalolalamika, watawala wa zamani au wapya? tambua kuwa enzi za Gaddafi kuna tabaka lililokuwa linafaidi na tabaka lililokuwa linanyanyasika sasa upepo umebadilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.