Ingekuwa Asanterabi Malimaw ningeamini lakini huyu anayependa wake za watu Noooo
Marehem kighoma malima must be turning on his grave kwa upuuzi anaoufanya adam
Mimi mainstream kila jimbo au wilaya liwe na development and. Economic plan Yao. Nathaniel this is what January Makamba has tried to do in Bumbuli Dukakis success rate yake
Devolution tayari tunayo in a a form of decentralized govt wenyewe tunaiiita TAMISEMI ila tatizo siyo max japo naelewa wanaruhusiwa kujitawala kwa almost kilakitu
Kuhusu rushwa nimesema ifanyike independent oversight lakini tunaweza sana ila tunajiendekeza tuuu
Simple. Serikali ishafanya jitihada za my decentralize uchumi na njia za uchumi.
In addition tuna kitu kinaitwa TAMISEMI sasa watu wa mikoa kama mwanza Iringa Pwani etc na wilaya zao wanaweza kutengeneza ba kutafuta economic and development partners na plans zao za kujikwamua without...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.