Recent content by sheiza

  1. sheiza

    Rais Samia: Toeni Ushauri wa Ukweli Bila Hofu Kama Mradi Hauna Faida.Asema NSSF ya Mshomba Ilipata hasara Kisa "Ulikuwa Wakati Ule"

    Yeye ameendelea kununua ndege..je zina tija!? Yeye ameendelea kujenga mwendokasi wakati huduma yenyewe haina ufanisi..kule mbagala hadi miundo mbinu inabomoka..kuna haja ya kuendelea kujenga? Atakuwa tayari kuacha akiambiwa kwa sasa haina tija.? Kisha si huyu huyu alimuambia profesa Mkenda...
  2. sheiza

    Hongera Samia Kum-Endorse Dr Ndugulile; Mtangulizi Wako Aliwazuia Membe, Likwelile na Mulamula Wasiende AU

    Hao unaowataja walilifanyia nini taifa walipokuwa na nyadhifa za kitaifa..?Magu hakuwa anaendekeza ushkaji kwenye mambo ya msingi. Mtu ana faili chafu, mbinafsi kisha unampitisha mambo ya msingi, si bora akalee wajukuu.
  3. sheiza

    Nimekumbuka maisha ya siasa enzi za Hayati Magufuli (JPM) siasa ilichangamka buana, na wananchi kwa ujumla wake!

    Ardhi ilikuwa inachimbuliwa kila mkoa, kata na kijiji.. huju tanesco unapishana nao kijiji kwa kijiji..mama ndalichako yupo bize na kukarabati shule na vyuo vikongwe. Miradi ya maji ilipamba moto hatari..traffic na wafanyakazi wa uma walikuwa hawapokei rushwa kama hawakujui, ukiingia ofisi ya...
  4. sheiza

    Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Maombi ya devil agents humu vs God agents yamedunda.
  5. sheiza

    PreGE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

    Magufuli alitumia sayansi ya siasa, hakutaka machafuko na dhoruba ndio maana akasimamisha shughuli za kisiasa zibaki za majimboni ili kuwanusuru wapinzani na hizi kadhia za polisi.
  6. sheiza

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa: Mbowe siyo Msakata Rhumba maarufu ndio sababu hadi sasa bado yuko Jukwaani japo muda umeisha!

    Huyu jamaa anajiona famous sana nchi hii..upinzani siwapendi toka nilipogundua kuwa hawatembelei maneno yao, waongo, wabinafsi, wazandiki. Ila kwa haya yanayoendelea kwa msigwa dhidi ya Mbowe yanathibitisha chuki yangu ya kweli kwa msigwa na upinzani kwa ujumla. Msigwa hamshambulii Mbowe kwa...
  7. sheiza

    Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

    Mimi siikubali chadema..lakini ujinga anaoongea huyu mzee ndio unachefua kabisa..
  8. sheiza

    Hivi mnazungumziaje bifu la Shilole na Esha Buheti, mbona limefika pabaya sana

    Unajua kwa jinsi anavyosimulia na vionjo anavyoweka nikajua ni mdada..sasa we umenishtua ikabidi nirudi juu kuangalia..kumbe ni ME!
  9. sheiza

    Kosa kubwa alilofanya ilikuwa ni kurithi Baraza la Mawaziri la Hayati Magufuli

    Mbona aliwapangua wote na hata wachache waliobakizwa walizibwa mdomo isipokuwa wale aliowapenda yeye kama aweso na bashe.
  10. sheiza

    PreGE2025 Picha: Wameamua kumdhalilisha Peter Msigwa. Ukimtazama usoni amefadhaika sana

    Msomi wa vitabu aliyepata kusema kama mtu hana vitabu nyumbani kwake yeye hawezi kuwa rafiki yake..lakini leo anaambatana na kina amos makala wasiokuwa hata na vitabu vya madhehebu yao..
  11. sheiza

    Rais akikosea aambiwe ukweli hadi aelewe

    Unaweza kumshauri mtu lakini ni ngumu kujua atazungumza nini kwenye public, otherwise awe anaongea speech za kuandikiwa tu..akimaliza aage.
  12. sheiza

    PreGE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

    Laana ya kusherehekea kifo cha Magu inaendelea kuwatafuna..ogopa sana mtu anayeliliwa na wengi..bora wangekaaga kimya.
  13. sheiza

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa Mbona hasikiki au amerudi CHADEMA Kimya Kimya?

    Walimpa kiki ili kuzima ishu ya sukari ya Mpina kumshtaki spika na Bashe..sasa kama ujuavyo ccm huwa inawatumia kisha inawaflash waende na mavi..kazi yake imeisha.
Back
Top Bottom