Jamani kwa ufahamu wangu ni MUHIMU sana mtoto kulia tena hasa pale pindi tu mtoto anapokua amezaliwa.
Kwani mtoto anapokua analia pale tu baada ya Kazaliwa anakua anaruhusu hewa ya oxygen kuzunguka kwenye ubongo. Ana asipolia kuna madhara baadae kwa mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.