Nitashangaa kama,ana mmoja tu, " eti mrithi" Anao warithi. Enendeni ulimwenguni pote mkawafanye......
Kwa nini yanakuwa na nguvu? Tafuta maana ya kushika zamu kwenye Biblia. Ukishaipata angalia na idadi ya waumini wa Katoliki katika jamii.
Mfumo ndio unaotakiwa uyafanyie kazi hayo yote kwa kuweka taratibu za mafao yanayoeleweka kwa wahusika. Kama ni kusubiri fadhila na hizani, matokeo ndio hayo wahusika wanabakia na simulizi za kuvutia za kukusanya watu viembe gahawa huku wakipigwa na njaa kali. Yaani utasikia tulipotia buti Arua...
Khalafu utakuta anayeota mapinduzi analikitambi hata kutembea mita 500 hawezi. Angalie huko Kongo mkimbizi anakimbia na kutembea mamia ya km na akiwa mbuzi na safuria mgongoni. Acha kabisa hayo mambo. Na Mungu apishie mbali.
Niliona mtandao u tubu nafikiri sikumbuki vizuri, aliyekuwa dereva wa Kenyatta Jomo ambaye na mwanaye Uhuru wote walikuwa marais kwa vipindi tofauti. Hiyo nyumba anayo ishi na hayo maisha, ngachoka kabsa! Lazima na,nachekea kusema hayo ni masharti ya kimaagano kuwa asisaidike.
Na Marehemu JPM alitangaza hadharani kuwa wako watu huko Tanesco wanafungulia maji kwenye mabwawa yamwaiike ili wasababishe uhaba usio kuwepo kwa kisingizio cha ukame na wauze mafuta ya mitambo na majenerator. Hii ilikuwa ni kweli au si kweli.? Kwenye huu mgao wa sasa ukame umetajwa kama...
Pale mwanzoni mwamzoni mwa awamu hii baada ya kuaminishwa kwamba mitambo ilikuwa ikiendeshwa bila routine services Tanesco waliombaga trillioni kadhaa sijui kama walipewa au la?
Kwa wengine ambao barabara za kufika ma kwetu tulichimba wenyewe kwa mikono kutumia jembe sururu, rato na chepe. Mawe makubwa unawasha moto kuyaunguza hatimaye unavunja kwa nyundo ile ya 12kgs ya mawe.
Shule tulizosomea madarasa tulifyatua tofali kwa mikono yetu wenyewe tunabakia kuwashangaa...
Kiengezwe cheo cha Makamu makamu wa Rais/Naibu naibu wa Rais. Kwenye miiko ya cheo cha Vp kiko kipengele kinacho muelekeza kutenda/kufanyakazi kwa tahadhari kuepuka asimfunike boss wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.