✓Kwenye gari Kuna vitu vingi sana kama havio sawa vinapelekea gari kutumia mafuta mengi kuliko kawaida. Kwa mfano
1) Kutanuka kwa matundu ya nozzle.
2) Kuchoka kwa spark plugs
3) Kuwepo na leakage ya hewa
4) Kufeli kwa oxygen sensor.
✓Kama ukiona gari lako linakuka mafuta au linachangamoto...
✓Watumiaji wengi wamejikuta wakiingia kwenye matatizo makubwa kwenye gari zao kwa kusababisha wao wenyewe bila kujua...!!!
✓Kivipi? Gari nyingi za kisasa Huwa zinatoa taarifa ya changamoto ya chombo kabla halijawa kubwa.. Sasa kitendo cha kuipuuzia pasipo kuchukua hatua kwa wakati ndio...
✓Unawezekana gari yako imeanza kutumia mafuta mengi kuliko ilivyokia awali
✓Au inakosa nguvu kwa namna yoyote Ile na haujui nini cha kufanya
✓Tafadhali usisite kutupigia simu ili kupata maoni, ushauri au kujua nini cha kufanya ili kutatua changamoto Hizo kwenye gari yako.
@PIGA SIMU:- 0659-717838
✓Gari kukosa nguvu ni kitendo cha gari kushindwa kufanyakazi kazi katika uwezo wake wa kawaida kitaalamu matatizo yanayopelekea gari kukosa nguvu yamegawanywa katika makundi matatu nayo ni.
(1)Kufeli kwa sensors mbalimbali
Sensor ni kifaa kinachopatikana kwenye gari nyingi za kisasa chenyewe...
✓Gari kukosa nguvu ni kitendo cha gari kushindwa kufanyakazi kazi katika uwezo wake wa kawaida kitaalamu matatizo yanayopelekea gari kukosa nguvu yamegawanywa katika makundi matatu nayo ni.
(1)Kufeli kwa sensors mbalimbali
Sensor ni kifaa kinachopatikana kwenye gari nyingi za kisasa chenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.