1. Kutokua au kutoheshimu vipaumbele katika utekelezaji wa mipanga ya serikali.
2. Kutojali utaalamu au professionalism katika uendeshaji......wanasiasa wa serikali hii wanadhani wanajua kila kitu.
3. Wasaidizi wa mkuu hawana au awapewi nafasi ya kutoa michango yao so ili walinde ajira wameamua...
Kwakumpokea FISADI MKUU wote mlishapoteza uhalali wa kumnyooshea yeyote kidole na tuliwaona LIVE bila chenga. Muda wa siasa umepita,mtupishe tufanye #KAZI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.