Cost zote zinajulikana kiualisia,kama usafiri,chakula,malazi,wabebaji.kimsingi kutoa mzigo eneo husika mpaka kufika kwa mlaji au argent..so point ya msingi outputs...
Unaweza ukanunua mpunga.then ukakobolesha mwenyewe.katika machine za Ku grade alafu ukawa unasafirisha na kuuza Michele. Hiyo ndo inalipa pana gunia la mpunga utanunua sh 60,000 kukoboa gunia 3,500. Kwa mpunga mkubwa litatoa kilo 70-72.hivyo kama una mtaji Wa laki sita utapata gunia 10,ambazo...
Nahitaji msaada ni software ipi itanifaa katika transaction zangu...mana nature ya biashara yangu ni mills,store,bar and restaurant.... Mana company yangu nafanya vitu vyote kwenye madaftari...
Wadau mi naomba kutolewa japo format ya mahesabu ya mwaka yanayo enda tra..ili kukatwa kodo..na je ni vitabu gani tra wakija ofcn huwa wanavikagua...naombeni msàada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.