Mbwa hao wanalalaga na njaa mwaka mzima watoto wao tabu wanakuja kudanganywa kwa vijiela vya siku moja kutoa bendera na kuleta fujo..mkishinda sala za wananchi zitalipwa duniani
Watanzania wamesahau nchi inavyoliwa..escrow mwaka Jana iliumiza mioyo ya watu sana na viongozi walibebana sana bungeni wapiganaji walipigana..Leo wanataka kuendelea na kuwapa nchi hii hatufikiri yaliyotokea ? Can't blv this is happening
Makonda Ana nguvu gani ya kuwashughulikia watu...uongozi mbona umekuwa kama ndio mgawa pumzi mnajiamlia tu...pumzi avutayo ndio hiyo tuvutayo tunaweza kuisimamisha pia salamu kwake..achunge sana.wote si kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.