Recent content by shariff99

  1. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    o k ila laini ya safarocom huku si inasoma km kawaida
  2. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    sio kodi tu mkuu na wanatutua umasikini wananchi wao mana mtandaoni kuna fursa kibao zakuingiza hata dolla 200 kw wiki.
  3. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    sasa ww nime kuelewa n nadhani sio mbaya pia couse naeza kua naifanyia manunuzi ya vitu binafsi mtandaoni n tayari nime sinup ila nachemka hapa kwemye ku link card nifanyeje ili iweze kumaliza.
  4. shariff99

    Wanaotafuta kazi kwenye NGO eleweni hili

    naombeni nijjue kwanza jamani hilo neno NGO maana yake ni nini.
  5. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    naomba msada wako niweze kufungua mkuu.
  6. shariff99

    Tour campsite: Watu wanne walio serious tuanze hii biashara

    nikweli kabisa broo unaonekana unawazo zuri n pm n mm
  7. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    tuko nyuma sana aisee na serikali ingejua jinsigani inatunyima fursa vijana wao wangefungua mara moja mana online kuna fursa zakuingiza pesa nyingi sana
  8. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    yah kenya wapo connected n EQUITY bank n EQUITY bank apa c ipo ila cjajua kama zahuku tanzania wapo connected
  9. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    yah mm nataka ivyo ila cjajua bank gani zipo conected n paypal
  10. shariff99

    Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

    ndio mm nnaswali mana nilikua nhitaji paypal ila nahisi bado cjapata ufafanuzu zaidi ila nna rafikiangu kutoka us kaniambia nijiunge n payoneer n kanipa link lakini nikioanisha n hii yako naona hazifanani n hata katika ufungukaji pia kuna vitu vinatafautiana kwa kusibitisha apa nnapo fanya...
  11. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    vodakom wanafanya hivyo kweli
  12. shariff99

    Kwa wanaotumia paypal naomba msaada katika hili

    Habari wadau nilikua naomba msaada wenu kwa yeyote anaetumia paypal ningependa anisaidie kuyafaham yafuatayo tukiachana na jinsi yakufungua account nilitaka kufaham je inawezekana kutumia paypal kama wallet kwa mfano nafanya kazi n mtu online alafu malipo yangu yawe yanaingia kwenye paypal...
Back
Top Bottom