broo mafanikio ya chadema/UKAWA yameonekana! au ndo ujui kupiga hesabu? angalia idadi ya kura za rais? idadi ya wabunge! mawaziri waliokihama chama chenu; nk
atimae yalemaandamano yaliyofanywa na UkAwA yapelekea policcm kukataza maandamano wakati wa uchukuaji form za kugombea ubunge urais na udiwani! amaaa kweli kazi IPO mwaka huu
amin usiamini kukatwa jina LA fisadi low as a ni hofu ya ccm dhidi ya UKAWA, sasa kilicho salia ni oktoba 25/2015.wananchi kujitokeza na kupiga kura kwa wingi. viva UKAWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.