Huli ndio tatizo kubwa miongoni mwetu sisi wananchi wa Afrika, kwa ujumla, na wengi wetu nchini mwetu Tanzania, kuwa kama hujasema Kiingereza basi wewe hujasoma, au mjinga, au si mstaarafu. NI KASUMBA TULIOLISHWA NA WAKOLONI WETU, tokea miaka ya kudai Uhuru, hadi baada ya kupata Uhuru wetu...