Habari wadau, kwa yeyote anayejua wasambazaji na wauzaji wa mbolea na sumu za kuulia wadudu pamoja na sumu kwa ajili ya kuua magugu shambani kwa bei ya jumla, anijuze tafadhali.
Habarini wana jamvi!
naombeni kujuzwa ya kuwa kuna uwezekano kwa mwanamke mjamzito kuendelea kupata hedhi? au kwa lugha nyingine wanaita "punguza" na ni nini hatima au dawa yake?
na kuna uwezekano akajifungua mtoto pindi muda utakapofika?
nawasilisha wana JF.
Habar wana jamii! naomba kujuzwa ya kuwa ni madhara yapi mtu anaweza kupata endapo kama atafanya mapenzi wakati mwanamke yupo kwenye hedhi?(awe mke au mume?).
Habari wana Jamiiforums. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, mke wangu kwa siku za hivi karibuni wakati na baada ya kusex analalamika ya kuwa anawashwa sana ukeni, tofaut na mwanzo mpaka hataman tena kusex.
Sasa tatizo ni nini? msaada wenu wana jamvi.
Naomba kujua pia hivi mwanamke akifanya mapenzi siku 1 baada ya ku-bleed aweza pata mimba?
mfano ameanza ku-bleed tar 1,2 na 3 akamaliza na cku iliyofuata akafanya mapenzi, je vp hapo aweza pata mimba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.