I guess you have already done what you intended to do yesterday isnt it?? But you should strive to make sure that he shows you love everyday and not necessarily on Valentine's day only
Mmhh umefanya research kwanza mpaka ukaongea hivyo? Kucheat hakuna cha mzungu wala mwafrika,wote wanafanya the same.Nadhani hii kitu commitment ni personal zaidi na sio ya kufanya generalisation.
Kwa mtazamo wangu ni hivi, si vizuri kumwacha mtoto apitie yale makosa uliyopitia wewe wkt unakua.ni vema ukae naye/nao na kuwaeleza ukweli wajue positive na negative ya mambo mbali mbali hususani wakiwa wanaelekea ktk teen ages.akishajua positive and negative then risk iko kwake mwenyewe kama...
Kwa mtazamo wangu ni hivi, si vizuri kumwacha mtoto apitie yale makosa uliyopitia wewe wkt unakua.ni vema ukae naye/nao na kuwaeleza ukweli wajue positive na negative ya mambo mbali mbali hususani wakiwa wanaelekea ktk teen ages.akishajua positive and negative then risk iko kwake mwenyewe kama...
Weupe au weusi wa mtu sio kipimo cha ujuzi wa mapenzi. Mapenzi is an art. Ujuzi ktk mapenzi hautegemei na rangi ya mtu bali ni utundu tu wa mhusika na kujua nini cha kufanya ili kumridhisha mwanani wako.
Hello members wa MMU,
Nina mpenzi wangu tunayependana kwa dhati sana na tuna malengo ktk future yetu. Juzi kati aliniaga anasafiri kidogo nje ya mkoa na nikamwelewa tu kivizuri kwa vile alikuwa anaenda kupumzika kidogo.Hazikupita siku kadhaa nikapata habari za uhakika kutoka kwa ndugu yake mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.