Kwa nini kiongozi mkubwa unalazimisha wapiga kura wakate magovi kwani wamekuambia yanawakera? Wacha natural kama ilivyo, hii in sawa na kumwambia mwanamke apige perfume uchi hatupendi tunataka ave smell
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mi naomba tuheshimu HAWA watu maana huko ndo tulipitia wote,we ukiona pananuka acha siyo kutangaza.Tamaa zako hizo.Kwani kidole kiende huko badala ya mdeki wako? Ulichotafuta ilikuwa haki yako mdeki hausikii harufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Ubao huo kiasi gani hadi wanashindwa kuutengeneza hadi tuuone Mitandaoni? Rais ondoa. Viongozi hao wanakudhalilisha hawana akili za kujiongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikiona watu wengi hasa nikienda sokoni wanapendelea sana kula ndizi kuliko kuliko matunda Mengine, mini hasa siri iliyomo ndani ya tunda hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.