Recent content by shamsi19jr

  1. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Mambo yakufanya gari inapozima ghafla

    Yaap, Gari inatunzwa na ikiwekwa safi aiwez kuaibisha
  2. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Mambo yakufanya gari inapozima ghafla

    Gari imezima Ghafla? Unaweza kufanya mambo machache wewe mwenyew pindi gari inapozima katika Hali ya kutotegemea kabla aujatafuta fundi. Kama upo barabarani au sehemu unayoziba njia sogeza gari pembeni kwa kupata msaada wa kusukuma. Manual weka neutral sukuma pembeni. Automatic press shift...
  3. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Nini inaweza kuwa shida kwenye hii engine naona inavuja oil

    Kuvuja oil kwenye engine Mara nyingi ni Matatizo ya seal, Kwa hiyo position ya picha nila Shaka Ni top cover seal Nunua original funga imeisha.
  4. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Gari kuwa na miss asubuhi au ukipaki muda mrefu

    Tuanzie hapa. Je taa ya check engine inawaka!? Kuwaka gari Ni combustion process ambayo inategemea Mafuta Hewa Na Chanzo Cha mafuta katika muda sahihi,joto, pressure na kiasi sahihi Hivyo chochote kinachoweza ingilia mkutano huu lazima gari italeta misfire etc Kama check engine iko on...
  5. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari (Noah) silencer kuwa chini

    Hilo tatizo linaweza kutokana na sababu nyingi. Tunaweza kuzigawanya makundi mawili 1.Za kiumeme(Electrical and electronics faults) Mfano. Tatizo la throttle position sensor,air flow sensor etc 2.Za kimekaniko(Electromechanical faults) Mfano Kuziba kwa throttle kutokana na uchafu,ubovu wa...
  6. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Service za Magari.

    Shamsi Hassani Adamu Holder of Bachelor of Mechanical Engineering from DIT[emoji120]
  7. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Service za Magari.

    Service kubwa naweza fanya, Muda wa service tu ukifika unanicheki nabeba vifaa nafanya kazi narudi anytime.
  8. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Service za Magari.

    Now kurasini,pia nafanya mobile service anywhere, anytime 24hrs mazingira ya kazi yakiwa sawa tu
  9. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Service za Magari.

    Dar es salaam [emoji120]
  10. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Service za Magari.

    Service za Magari Ni kitu muhimu Sana katika kuhakikisha usalam wa gari yako,wewe mwenyew na wengine. Bahati mbaya sana huku kwetu service huwa tunazifanya kwa mazoea ndio maana sio ajabu gari kwenda gereji kila wiki muda mwingin mafundi tunashindwa kufuata misingi ya professional na Uaminifu...
  11. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu mbona link inasumbua kufunguka
  12. shamsi19jr

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Forex books ni zipi na napata wapi
Back
Top Bottom