Bosi, sasa hivi sisi kama chama tunataka kuunganisha watu ili Dkt Samia ashinde kwa kishindo. Hatuhitaji kiongozi nayegawa watu. Kauli kama hii inaakisi mabaya sana hata kwa Dkt Samia, mbona kila siku viongozi waandamizi wanaimba ngonjera za Dkt Samia kafanya hivi mara vile, ina maana yeye...
Yaani Dkt Nchimbi anahitaji kujulishwa kuwa yale makundi ya 2025 hayapo na Mzee Lowasa hana mpango wa kugombea tena. Yaani anataka kumlinganisha Dkt Samia na Dkt Bilal??? Maana yake Dkt Samia uwezo wake mdogo??? Aisee ila hakika anahitaji mtu wa publicity.
Nchimbi ameingia na mguu wa bahati mbaya, hakuwa na haja ya kusema eti
Moja ya kauli mbovu kabisa toka kwa kiongozi mkuu mtendaji wa chama. Hakika sisi kama wanachama hatukutegemea aanze na kumsimanga marehemu Dkt Magufuli. Yaani Dkt Nchimbi kajiharibia sana, yaani badala ya kuiga ya Professor...
Hawa kuachiliwa au kurudi wakiwa hai ni ngumu sana tena sana, na sababu kubwa ni human organs biashara, yaani hao hamas unakuta vyanzo vya mapato pia ni kuuza viungo vya waliowateka na wenye biashara hizo unaweza kuta wanakimbilia huko ni kuuza figo, moyo etc. Tuwaombee ila inapotokea vita kuna...
Mkapa nadhani alikurupuka zaidi kwa sababu hakuweka miundombinu ya kusimamia ubinafsishaji, na ndiyo maan Mwl Nyerere alimkataza kabisa asifanye huo upuuzi matokeo yake akapelekwa R.I.P St Thomas UK. Ila Kwa Rais Samia ni tofauti kabisa. Tumuamini Dkt Samia, atafanya vizuri.
Hahaha hivi Dkt Magufuli hana watoto wao si walisherehekea kifp chake. Hata sisi watanzania hakuna kuwasamehe mpaka siku wakija kuomba msamaha kwa hilo jambo. Tena kama mbowe gaidi anapaswa awe jela akisubiri kunyongwa mpaka kufa. Kosa lao kubwa kabisa ndiyo hilo, mbowe gaidi ataendelea kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.