Recent content by shamimuodd

  1. shamimuodd

    Vijana m'meona tukio la binti wa UDSM kupigwa na mchumba wake?

    Kwa jamii ya wafugaji hasa wamasai, binti anahitaji msaada. Wasichana wengi wa kimasai halisi wakitoka wanaona kama wamfunguliwa kwenye vifungo.
  2. shamimuodd

    Rais Samia Msibani kwa Ndugai

    Ina maana yule Bi Mkubwa mke wa ndoa hatambuliki kabisa jamani? Sijui mwenye shida alikuwa Job au Mke mkubwa?
  3. shamimuodd

    Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

    Bosi wewe hujaelewa, yaani hivi vitu hata wewe unaweza jiweka yaani iko hivi kukiwa na tukio siku hizi imekuwa mtindo mtu kujitangaza kwa kuambatanisha na tukio, mfano kama wakuu wa taasisi walipoalikwa Arusha kila mmoja alikuwa anajiandika nitakuwepo, hivyo usimshambulie Hamisa
  4. shamimuodd

    Mitungi ya Oxygen ya Muhimbili ingetumika Kariakoo

    GTs, Nawaza sana wenzetu wanavyoumia kwa kukosa hewa na kibaya mitungi ya oxygen ipo pale Muhimbili, inakuwaje haijapelekwa Kariakoo kutoa hewa safi kwa wahanga waliokwama chini ya vifusi??
  5. shamimuodd

    Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

    Sana ni wale watu wasiojulikana kabisa. Ndiyo maana tunahitaji haki ya kumiliki bunduki
  6. shamimuodd

    Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

    Hii video inatakiwa isambazwe maana hao wamejitambulisha eti wao ni askari, ni wauji kabisa na watekaji
  7. shamimuodd

    LGE2024 Ulaghai wa bei ya korosho na kiki za kisiasa za CCM kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Sheria inaruhusu kumpelekea mteja mzigo kama ni mjini au Dar, hivyo maghaala yanaweza jengwa hata vijijinu kikubwa bodi ya stakabadhi gharani uthibitishe ubora
  8. shamimuodd

    LGE2024 Ulaghai wa bei ya korosho na kiki za kisiasa za CCM kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Nyie wakulima ndiyo hamjui. Jengeni maghala kupitia vyama vyenu vya ushirika, myasajili hayo maghala kupitia bodi ya stakabadhi ghalani. Na mnada ufanyike huko. Ila huu utaratibu wa kupeleka sijui mtakesha
  9. shamimuodd

    Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali

    Ni ujinga sana kuendekeza kuvaa nitumba. Pamba tunayo inakuwaje tuvae mitumba????? Nchi yetu imebarikiwa kila kitu unaenda kuleta nguo za marehemu na mamizimu ya wazungu shiti kabisa.
  10. shamimuodd

    Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali

    Unauza nguo za marahemu???? Ni ujinga sana kununua mtumba. Ningekuwa na mamlaka ningepiga marufuku biashara ya nguo za marehemu
  11. shamimuodd

    Ishakuwa kawaida mtu ana degree kuwa bodaboda au barmaid

    Boda boda hata Uber/bolt. Mwanzo wakati pikipiki zinaanza waendesha boda boda walikuwa vijana wahuni wahuni ila now mi bababa, mizee mingine iko na boda boda kabisa na bado hawaoni umuhimu wa kupiga kura hahah
  12. shamimuodd

    PreGE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

    Iko siku hawa watakuja kuitwa mashujaa wa demokrasia. Ni kama Hichilema wa Zambia. Ilikuwa hekima kumuacha mbowe aende mpaka mnazi mmoja ahutubie hata kama ni watu 5 ili tujue nguvu yake. Hahaha
  13. shamimuodd

    Dkt Samia usiruhusu Chadema wapigwe, toa Amri walindwe!

    Kabisa. Yaani kama washauri wengi wanaomzunguka rais wanahofia kupoteza vyeo zaidi kuliko kumshauri kwa maslahi mapana ya nchi
  14. shamimuodd

    Nilikamatwa Morogoro stesheni ya SGR nikituhumiwa kusafirisha chupa ya mil.500 ya maji ya kunywa!

    Ndiyo hivyo utaratibu. Kuna kabila huko kusini nyumani kwetu akanunua basi nadhani unajua buti la zungu basi zile siti za VIP wenyeji wakawa wakikata ticket wanaenda kukaa zile siti then wanafukuzwa baadaya wakazila kupanda zile gari wakisema zinanyanyasa kwa sababu unakata ticket halafu...
Back
Top Bottom