Recent content by shamimuodd

  1. shamimuodd

    Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

    Hando kajitia kitanzi. Je anao ushahidi wa Makonda kuhusika na utekaji???
  2. shamimuodd

    Kinana , Nchimbi na Makonda Tayari wameingia kwenye mfumo wa CHADEMA , sasa anayesubiriwa ni Samia tu mchezo uishe

    Hujui kitu kabisa. CCM sisi ni bonge la chama naona kichama chenu mfu mnatafuta pa kutokea hahaha
  3. shamimuodd

    Dkt. Emmanuel Nchimbi: Mwenyekiti wetu amefanya mambo makubwa bila majivuno. Angekuwa mwingine kafanya hakuna rangi tungeacha kuiona

    Bosi, sasa hivi sisi kama chama tunataka kuunganisha watu ili Dkt Samia ashinde kwa kishindo. Hatuhitaji kiongozi nayegawa watu. Kauli kama hii inaakisi mabaya sana hata kwa Dkt Samia, mbona kila siku viongozi waandamizi wanaimba ngonjera za Dkt Samia kafanya hivi mara vile, ina maana yeye...
  4. shamimuodd

    Dkt. Nchimbi: Mimi napenda kuongea na Kuwasikiliza Watu wenye akili

    Yaani Dkt Nchimbi anahitaji kujulishwa kuwa yale makundi ya 2025 hayapo na Mzee Lowasa hana mpango wa kugombea tena. Yaani anataka kumlinganisha Dkt Samia na Dkt Bilal??? Maana yake Dkt Samia uwezo wake mdogo??? Aisee ila hakika anahitaji mtu wa publicity.
  5. shamimuodd

    Dkt. Emmanuel Nchimbi: Mwenyekiti wetu amefanya mambo makubwa bila majivuno. Angekuwa mwingine kafanya hakuna rangi tungeacha kuiona

    Nchimbi ameingia na mguu wa bahati mbaya, hakuwa na haja ya kusema eti Moja ya kauli mbovu kabisa toka kwa kiongozi mkuu mtendaji wa chama. Hakika sisi kama wanachama hatukutegemea aanze na kumsimanga marehemu Dkt Magufuli. Yaani Dkt Nchimbi kajiharibia sana, yaani badala ya kuiga ya Professor...
  6. shamimuodd

    Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

    Tatizo siyo Hamas, yaani unaweza kuta wahuni wakakimbilia huko kufanya yao.
  7. shamimuodd

    Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

    Hawa kuachiliwa au kurudi wakiwa hai ni ngumu sana tena sana, na sababu kubwa ni human organs biashara, yaani hao hamas unakuta vyanzo vya mapato pia ni kuuza viungo vya waliowateka na wenye biashara hizo unaweza kuta wanakimbilia huko ni kuuza figo, moyo etc. Tuwaombee ila inapotokea vita kuna...
  8. shamimuodd

    Hata hayati Benjamin Mkapa alituaminisha tutapata faida, fursa kedekede, baadae yakawa majuto!!

    Mkapa nadhani alikurupuka zaidi kwa sababu hakuweka miundombinu ya kusimamia ubinafsishaji, na ndiyo maan Mwl Nyerere alimkataza kabisa asifanye huo upuuzi matokeo yake akapelekwa R.I.P St Thomas UK. Ila Kwa Rais Samia ni tofauti kabisa. Tumuamini Dkt Samia, atafanya vizuri.
  9. shamimuodd

    Jukwaa alilopanda Mbowe ni kiwango cha chini na halifai

    Yaani hawa mijamaa ni bahili sana hata hela ya jukwaa wanatia mfukoni?
  10. shamimuodd

    Freeman Mbowe alalamikia Uhamiaji uwanja wa ndege Nyerere kwa kumsumbua Mtoto wake ambaye ni raia wa Marekani kuingia nchini

    Hahaha hivi Dkt Magufuli hana watoto wao si walisherehekea kifp chake. Hata sisi watanzania hakuna kuwasamehe mpaka siku wakija kuomba msamaha kwa hilo jambo. Tena kama mbowe gaidi anapaswa awe jela akisubiri kunyongwa mpaka kufa. Kosa lao kubwa kabisa ndiyo hilo, mbowe gaidi ataendelea kuwa...
  11. shamimuodd

    Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

    imhotep ungekuwa karibu ningekuzaba vibao vitano muhuni kabisa
  12. shamimuodd

    Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

    Kuwa mfuasi wa gaidi kama mbowe siyo sifa, akija rais mwingine lazime likamatwe na kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa
  13. shamimuodd

    Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

    Mbowe ni gaidi alitakiwa kufa kwa kunyongwa, amshukuru Rais Samia.
  14. shamimuodd

    Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

    You’ve said it well mkuu. NGO ya mzee mtei inaongozwa na majambazi makubwa. Can you imagine mbowe anapanga mikakati ya kuua viongozi.
Back
Top Bottom