Recent content by Shamba kwanza

  1. S

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Ajira za walimu wa masomo ya sanaa na wengine masomo ya sayansi hakuna kuanzia mwaka 2015 up to now,, mmmmmmm hatwarii Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Asante,, niliomba till mwaka 2017 mwezi wa tano , ikatoka till ikauzwa na walionifanyia mpango morogoro ofisi za voda, nilipofuatilia ofisini wakapiga simu wakasema till imetoka na anaitumia mtu mwingine yuko mazimbu, wakaifungia,,sasa ikawa shida kuipata kila nikienda ofisini wananiambia kesho...
  3. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba kuna kitu nijuzwe kuhusu tanesco, amesikika mara kwa mara waziri wa nishati kwamba nguzo ni bure na ni kazi ya tanesco, inachotakiwa kwa mteja ni kufanya maandalizi tu ya nyumba yake halafu anaomba umeme, swali je ni kweli nguzo bure? Swali la pili imekuwa kawaida ya tanesco kwamba...
  4. S

    Ni kundi gani la watu katika jamii huwa haliaminiki kutokana na matendo yao?

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] uongo wao ndugu ni wa kiwango cha standard gauge Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Serikali kumwaga ajira za kutosha mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao

    Mm nawaza tu hapa,, km haiwezekani kuajiri watumishi wapya kwa kigezo cha kwamba wahitimu ni wengi c waajir kwa awamu, means wanachukua awamu moja baada ya miaka mitano wanamaliza, wanachukua awamu nyingine, kuliko kuwaambia vijana wajiajir wakati wao wameajiriwa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom