Mm naona hakuna kiongozi anaetaka kwadhati na haki ya mungu. Bali wote hawa ni wachumia tumbo tu. Hakuna maccm wala ukawa njaa tu. Mtanzania atajikomboa yy mwenyewe.
Kwanza ww unajua necta au unasikia propaganda tu. Watu wanaoijua necta watafute wakwambie. Necta haifanyi kazi unayowaza ww, na shule umeishia kidato cha ngapi ww mzazi? Usichukue maneno ya mtaani ukaleta watu wachangie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.