Hawa jamaa ni hatari kuliko mnvayowaona.. wahindiwanawajua vzuri.. kuna mhindi muajiriwa wa afr tea alishwahi kuondoka kwao na nguo hazikauka. Mtu anaondoka kachukuliwa mpaka viatu na mishahara yake yote kwenye begi anarudi kwao michozi kama yote.
Sawa tumekuskia. Ila najua ukweli ni kwamba mwandishi hujaleta mada hii kwa sababu unataka uzalendo uwe mbele. I think its just personal.. ukila hela za watu wa kariba ya kina salaaa wana haki ya kukufanya chochte ikiwemo kukuweka kwenye magodown yao wakufunge mikamba.. huwa hawakubali mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.