Ila kusema kweli lowasa hawezi kusimama kwenye midahalo pamoja na wagombea wengne sababu huwezi jibu hoja nyingi atakazoulizwa sababu maswali ya kumuuliza lowasa ni mengi kuliko majibu tunayotegemea atakuwanayo!
Hilo siyo swala kumulaumu mdee tu pengne Dada wa watu alishalipigia kelele sana swala lakini utukerezaji wa serikali yetu ya ccm ndio shida diamond angepaswa kuilaumu serikali ya magamba isiyo sikia kelele za wanachi wAke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.