Pia ndugu inabidi utambue uyo uyo mbappe ,baba yake alimpeleka cameroon ili awachezee timu ya taifa lakini kiongozi alitaka rushwa( salio ) ndomana akaamua aende france
Ukiwa na kipaji kikubwa unacheza nchi yoyote duniani bila kujali rangi yako
Mbappe ni mchezaji mzuri level zake ni vinicious jr na neymar hafai kufananishwa na messi au Cr7
mbappe kapata air time kubwa africa kutokana na nchi nyingi za africa zilitaka france ishinde kutokana na uhusiano wa rangi (black ) sawa na sisi
ndugu mteja karibu kujipatia mabati ya taishan kiwandani mbeya mabati imara yanayostahimili vipindi vyote vya jua na mvua bila kupauka
○aina za mabati tuliyonayo
migongo midogo
migongo mipana (IT4 ,IT5)
milano tiles (vigae)
Usafiri ni bure hadi site ,punguzo la beimisumali lipo kwa mteja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.