Recent content by SHABAN R. KIJOJI

  1. S

    Mawazo yenu tafadhali.

    Kila nchi ina utaratibu wake kuhusu suala hilo
  2. S

    Pinda atekeleza maagizo ya Lowassa, aunda tume kuchunguza sababu ya kidato cha nne kufeli

    Kutokana na uelewa mdogo wa serikali na kutokujali kabisa suala la upotevu wa kodi za watanzania, ipo siku serikali itaunda tume kuchunguza kwa nini tume zinaundwa kila siku. Namshangaa sn Pinda kuunda tume ya kuchunguza kwa nin form four wengi wamefeli. Sababu ziko wazi kama vile upungufu wa...
  3. S

    Baraza la mitihani lakanusha

    Ni kweli matokeo yatazidi kuacha simulizi nyingi! Ila lazima tujue kuwa hata matokeo ya 2013 yatakuwa mabaya kwani wanafunzi wote hawa walipita bila mchujo kidato cha pili.
  4. S

    Baraza la mitihani lakanusha

    Baraza la Mitihani la Tanzania limekanusha kuwa matokeo ya kidato cha nne 2012 yamechakachuliwa. Wanaosema yamechakachuliwa wanatafuta cheap popularity!
Back
Top Bottom