Recent content by shaban abdala

  1. shaban abdala

    Naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa biashara ya vitenge hususani jijini Dar es Salaam

    Habari Wana JF Naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa biashara ya vitenge hususani jijini Dar es Salaam.
  2. shaban abdala

    Msaada wakuu namna gani Alibaba wanaship product kwa mteja

    Habari ya Uzima wakuu?samahani naomba muongozo kwa aliyewahi kuagiza bidhaa kupitia alibaba
  3. shaban abdala

    Msaada

    Habari wakuu?samahani naomba muongozo wa kuanzisha biashara ya vipuli vya pikipiki
  4. shaban abdala

    Biashara ya samaki wabichi (butcher la samaki)

    Habari wakuu? Samahani ndugu zangu naomba muongozo kwa mwenye ufahamu/uzoefu wa biashara ya uuzaji wa samaki wabichi(mahitaji yake kuanzia vifaa na documents kama vile leseni)
  5. shaban abdala

    Zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige kuendelea kesho Kilimanjaro, rubani aliyetelekeza ndege na kurudi Kenya kufuatiliwa!

    Hapo serikali ijiongeze sasa,isomeshe maruban wake na hapo ule msemo wa kiswahili "mtegemea cha ndugu hufa masikini" ndio unafanya kaz
  6. shaban abdala

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Yaa tulienda hyo j moc tena tukikuepo wanafunz co weng altoka mfanya kaz m1 akasema naenda huku Mara moja then nkrud ntawahudumia,bdae kdogo akaja mlnz akiwa amepewa salam aje atuambie kwamba wale wa transfer majna wataachia j5 na kama tu nataka maekezo zaid twende kesho I mean j3
  7. shaban abdala

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Me nltoka makao makuu Jana wakatuambia majna watayaachia j5 ya trh 15
  8. shaban abdala

    St. Joseph registration imeanza

    Jombaaa kama kuna mutu ana majna ya St.Joseph Arusha waliopata mkopo atusaidie kuyaweka humu
  9. shaban abdala

    182 wapata mikopo chuo kikuu St Joseph Arusha campus

    Jombaaa nakuomba ufanye msaada wa kuyatupia humu tuyaone
  10. shaban abdala

    Wale wa SUA mkopo huu hapa

    Kwa wale mliotangulia kuripot St.Joseph arusha VP majna ya waliopata mkopo wamebandka huko?
  11. shaban abdala

    Wale wa SUA mkopo huu hapa

    Mwenye majna ya St.Joseph arusha atusaidie ba ndugu
Back
Top Bottom