Recent content by Shaadya Salum

  1. Shaadya Salum

    Mazaa hawezi kusimama mbele ya Gwajima na akashinda . Never, niko pale mniite Zuchu akishinda

    Huyu mama alishapoteza muelekeo na tukimrudisha madarakani nchi itakosa muelekeo kama yeye alivyokosa muelekeo, Rais badala ashindane kwa hoja na Gwajima yeye anatoa mipasho tunaweza tukasema tuna rais kweli hapo? Hii nchi inatakiwa impate rais kama Gwajima hawa vilaza wengine tupa kule, Gwajima...
  2. Shaadya Salum

    PreGE2025 Kwa Kauli hii ya Rais "Magwajima Tuyaache", ni dhaihiri kwamba Gwajima lazima apigwe Panga na Wajumbe, Wameshindwa Kujibu Hoja zake wanataka kumtoa

    Kweli chama kimekosa rais, Haiwezekani rais anakosa hoja za kumshinda Gwajima anakimbilia kusema panga limpitie, Mm niseme tu ukweli tukilogwa tukampitisha tena huyu mama 2025 tujue hii nchi inageuka kuwa ya makenge wanaoteka watu, Mama hafai kabisa kuongoza hii nchi hakuna alichokifanya...
  3. Shaadya Salum

    Hizi ni sababu nzito za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kufukuzwa na kufutwa uanachama wa CCM haraka sana

    Kwa sababu Gwajima amewapiga na kitu kizito na mmeshindwa kumshinda kwa hoja ndiyo mnataka kumfukuza kwenye chama na mkimfukuza tutajua kweli mnamuogopa na alichokisema ni kweli asilimia mia, Itabidi mtuambie muhusika wa kuteka watu ni nani kama ni kenge mkubwa au ni hawa kenge wadogo na sisi...
  4. Shaadya Salum

    Mbunge Gwajima alitudanganya tufungue Akaunti NMB ataweka fedha za ukarabati wa barabara

    Inaoneka umeumia sana na wewe ulipenda upate mtu akupatie hiyo nafasi ya kwenda huko, angalia usije ukapididiwa kwa hizo tamaa zako
  5. Shaadya Salum

    Mbunge Gwajima alitudanganya tufungue Akaunti NMB ataweka fedha za ukarabati wa barabara

    Acha kudanganya uma wa watu na kuchafua jina la gwajima pasipo sababu za msingi umekiri kuwa amepita shina kwa shina na unauhakika mashina yapo mengi kwenye Jimbo la Kawe yawezekana shina lenu bado halijafikiwa umeshaanza kuleta porojo zisizo za kweli, nakushauri tafuta hoja yenye msingi ndiyo...
  6. Shaadya Salum

    Kiongozi aliyemezwa na tamaa kwa kuwadhulumu mafukara haamini kama kuna siku ya kiama

    Wewe ni kiongozi. Unaona watu unaowaongoza wanalalamikia uvunjifu wa katiba, kanuni, miongozo, na taratibu ambazo wewe kiongozi kwa viapo vyako na ahadi yako kwa CCM uliahidi kuvilinda, kuvitetea, na kuvihifadhi. Mheshimiwa Rais anasisitiza haki, lakini wewe husikii; umeweka pamba masikioni...
  7. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Ajira na mitaji unavyo mwenyewe kwenye akili yako hakuna mtu anaweza kukupa ajira wala mtaji shughulisha akili yako
  8. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Unaweza ukalima ila ukawahuna akili ya kilimo ulitaka tu na wewe uonekana umelima hapo huwezi kutoka kimaisha kabisa
  9. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Kama wewe umeona hicho ni kichekesho unaweza ukacheka ila wengine wameona ni fursa kwao hawawezi kucheka
  10. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Kwa viongozi wa Tanzania yawezekana mwenye hoja akawa Gwajima nitaendelea kumsikiliza
  11. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Ulitaka akinunua akuletee risiti au ailete kwako hiyo treni? Usicomment tu uonekane na wewe umecomment embu jaribu kuweka hoja yenye mashiko ueleweke
  12. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Ukimwita mtu muongo inabidi uwe na ushahidi wa huo uongo sasa sijui ww huo ushahidi unao au umeandika tu ili na ww uonekane umecomment?
  13. Shaadya Salum

    Je, tunataka kucheka sana au kujenga nchi yetu?

    Kwanza kabisa ni vyema unaposoma huu uzi upanue uelewe wako na kiwango chako cha kuyaangalia mambo kwa mapana na marefu. Kwa miaka miwili mpaka mitatu sasa kumeibuka wimbi kubwa la vijana wachekeshaji (comedian) kila kona ya Tanzania. Ukiwakuta vijana wana camera mtaani lazima tu watakuwa...
  14. Shaadya Salum

    Ni nani yupi unapenda awe Mbunge kwenye jimbo unaloishi?

    Kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 ungekuwa kesho; ni Mbunge yupi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (wa sasa au aliyestaafu) ambaye ungependa awe Mbunge kwenye Jimbo unaloishi? Kama yupo mtaje hapo chini[emoji1427]
Back
Top Bottom