Recent content by sforSia

  1. S

    Nauza mashine ya kutengeneza chaki

    tunaomba namba yako ya simu/ e-mail adress
  2. S

    Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

    Habarini wanajamii...Tafadhali naombeni anaejua biashara ya nywele bandia au maarufu Kama Rasta jumla na rejareja . Zinakopatikana jumla niwapi.nanunuaga kariakoo lakini ninauhakika kunamahali kariakoo wanachukua Natanguliza shukrani
  3. S

    Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

    Habarin za mihangaiko wadau. Naombeni mwenye ufahamu kuhusu biashara ya rasta/nywelebandia jumla na rejareja kutoka kiwandani napataje. Ninataka kujikita huko
  4. S

    Dada /kaka wa Saloon -Kigamboni-Kibada

    Anahitajika mfanyakazi wa saloon Awe anajue -Kuweka rollers -Steaming/hair treatment -Kupamba Maharusi -Kusuka aina zote za nywele -Awe MWAMINIFU na aliyeko tayari kufanya kazi SERIOUSLY -Awe na Huduma na Kauai Nzuri kwa wateja -Awe tayari kutoa huduma kwa ukarimu na weledi Kama upon tayari PM
  5. S

    Anajitajika msichana wa Saloon ya kike..kigamboni-kibada

    Wadau msaada tafadhali...sijafanikiwaaa
  6. S

    Anajitajika msichana wa Saloon ya kike..kigamboni-kibada

    Asante mdau:Msichana mwenye ujuzi wa Saloon ya kike-kupamba,kusuka,hair treatment na huduma zote za saloon ya kike..Salon ipo Kigamboni Kibada...awe tayar kufanya kazi kwa uaminifu na umakini tusogeze gurudumu la maisha
  7. S

    Anajitajika msichana wa Saloon ya kike..kigamboni-kibada

    kama kuna yoyote yupo serious anichek
Back
Top Bottom