Recent content by seven star

  1. seven star

    Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

    Wanaomiliki Ester luxury ni Mwigulu Nchemba, Job Ndugai na Joseph Ngeleuya. Msidanganyike na maneno yake hayo. Amini nawaambia.
  2. seven star

    Tanzania tunahitaji Jaji Mkuu mpya kutokana na yanayoendelea kwenye Mhimili wa Mahakama?

    Huyu wa sasa alikua mpuyangaji tangia enzi za mwendazake.Nafikiri aliteuliwa kwa zilezile sababu za kulindana na sasa hata baada ya kifo cha aliemteua bado anapuyanga maana hakua anakidhi vigezo.
  3. seven star

    Dkt. Slaa amesahau Katiba au anapotosha makusudi?

    Mbona Sirro kila mara anasema Mbowe ni gaidi?Kwa nn yy hajaichia mahakama ifanye kazi yake?Hili Dr Slaa hajaliona kaona la wanaosema Mbowe sio gaidi?Nikujuze tu kua Mungu hakosei.Ashaona hiyo shida haifai ktk kumtumikia ndio maana akaamua kumuacha akapambane na lile shangingi ili adhihirishe...
  4. seven star

    Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

    Wkt wa Magufuli mlikua na kauli hizi hizi.Swali langu ni kua mtu wa aina yako mnazaliwa hivyo hivyo mkiwa na mtindio wa ubongo au tatizo hilo linawakumba ukubwani?Maana watu wa aina yako ni mazezeta kipeuo cha pili.
  5. seven star

    Nani yupo nyuma ya ubunifu na utekelezaji wa mikakati ya CHADEMA?

    Mm sina uhakika ila kuna jamaa mmoja yupo pale Arusha anaitwa Amani Golugwa(kama nimepatia jina) atakua yupo nyuma ya hii kitu. Ni mtu mmoja smat sana ila hasikiki sana.
  6. seven star

    Rais Putin amejaa vitisho na mikwara ila hatoweza kuwashinda Wamarekani

    Usifananishe Ukraine na Iraq ndg.Marekani aliivamia Iraq baada ya kua amehakikisha S.Hussein hana chochote cha kuwasumbua.Kumbuka Marekani alikua ashaingia Iraq muda tu tofauti na hali tunayoishuhudia kwa sasa kati ya Urusi na Ukraine.
  7. seven star

    Prof. Beno Ndulu: Chungu cha BOT kina fedha za kutosha, nimeacha akiba ya fedha za kigeni Dola bilioni 6

    Kama tuna kiwango kikubwa hivyo cha fedha za kigeni zile 1.2 trillion tulizoenda kukopa kwa ajili ya mradi wa SGR tena kwa riba kubwa ya asilimia 200 zilikua za nini?
  8. seven star

    Fid Q: Ommy Dimpoz amefanya hadi nauchukia wimbo wangu wa Fresh

    Ushaambiwa ukianzisha vita na mimi usinichagulie aina ya silaha ya kutumia. Huyo Domo alianzisha utaahira akajibiwa uzezeta. Tuwaache wayamalize kama walivyoyaanzisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. seven star

    Rais Magufuli atafilisi nchi kwa kutoa maagizo ya kishabiki majukwaani

    Kwani humu kuandika kilugha inaruhusiwa? Mkuu niambie uliyoandika lugha gani? Kimakua au Kimbulu? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. seven star

    Spika Job Ndugai: Isingekuwa kanuni, kuna Wabunge wa hovyo ningeamuru wachapwe viboko bungeni

    Ile mbegu ya chuki walioipanda ndio inaota taratibu.La msingi ni kuvuta subira tu maana kama tumeshafikia huku kutokwenda kuzikana ambapo hata mm naunga mkono bado makubwa zaidi yanakuja. Shubaaamit zao. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. seven star

    Dodoma: Tundu Lissu agoma kutoka nje ya Mahakama akihofia Polisi, wamshauri atoke hakamatwi..

    Na pengine hata alichoandika Lissu hujakielewa maana nyie Vibaka wa Lumumba hiyo lugha mnaisikia tu upande wa pili ndio maana mnapigwa sana kwenye mikataba halafu mnarudi kulialia kama mnataka kujifungua.Mbaff sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. seven star

    Dodoma: Tundu Lissu agoma kutoka nje ya Mahakama akihofia Polisi, wamshauri atoke hakamatwi..

    Lissu ana akili kuliko nyie mboga mboga wote waliopiga kura 2015.Na kwa taarifa yako Ili siku nyingine uache uzezeta yule alikua anajua anachokifanya. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. seven star

    Maneno haya ya mheshimiwa Lissu ni upotoshaji wa wazi wazi

    Kwa hakika kama hujamuelewa Lissu utakua una ulemavu wa akili na tena wa kudumu. Pole kijana. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. seven star

    Habari maelezo wajibu Propaganda na upotoshaji wa Tundu Lissu

    Huyo aliejibu hoja za jana za Lissu bila shaka atakua na tatizo la Afya ya Akili. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom