Recent content by Seven Seven

  1. S

    Ni ipi miti bora ya kilimo cha mbao?

    Kuanzia kununua shamba had hatua ya kuvuna, plz msaada.
  2. S

    Ni ipi miti bora ya kilimo cha mbao?

    VP ukitaka kulima gharama zipoje mkuu
  3. S

    Wanawake siku hizi wanafaulu vizuri darasani kuliko wanaume

    Nakumbka mwaka 2012 kakaangu alipata 4 ya 28 akashindwa kuchaguliwa chuo cha ualimu lakn kuna wadada km 3 hv wao pia walikuwa na 4 ya 28 wakachaguliwa nkaja kuskia tetes kwamba ilibidi apate angalau 4 ya 27 kwa kuwa n wa kiume
  4. S

    Walimu wa special needs tujadili yetu hapa

    Nikitazama wanafunzi hawa wanavyofeli kwa kukosa walimu maalumu wa mambo hayo nabaki nmeshika tama na kujiuliza hivi serikali ina mpango gani na hawa watoto? Inauma sana
Back
Top Bottom