Nakumbka mwaka 2012 kakaangu alipata 4 ya 28 akashindwa kuchaguliwa chuo cha ualimu lakn kuna wadada km 3 hv wao pia walikuwa na 4 ya 28 wakachaguliwa nkaja kuskia tetes kwamba ilibidi apate angalau 4 ya 27 kwa kuwa n wa kiume
Nikitazama wanafunzi hawa wanavyofeli kwa kukosa walimu maalumu wa mambo hayo nabaki nmeshika tama na kujiuliza hivi serikali ina mpango gani na hawa watoto? Inauma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.