Recent content by SEUTA II

  1. SEUTA II

    JamiiForums Tanzania Watu wawili wafariki kwenye mkutano wa CCM uwanja wa Jamhuri Morogoro

    sidhani kuna Waliofariki nilichokisikia kwenye vyanzo vingine,ni hao majeruhi. Lakini nikuwatakia kupon haraka
  2. SEUTA II

    JamiiForums Tanzania Lowasa alichukuaje fomu ya uraisi wakati hajui shida za Watanzania?

    Siasa ni game of chance,unaangali auzaifu wa mpinzani wako unaitumia kuchukua popularity ya katika jamii
  3. SEUTA II

    JamiiForums Tanzania PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Kufuatia maoni ya Wananchi wengi wakitaka viongozi wote waliotajwa katika sakata la TEGETA ESCROW wajiuzulu nyadhifa zao, katika Serikali na chama chao ili kuwajibika kwa yale yaliyojitokeza katika kuruhusu pesa za walala hoi kuliwa na mafisadi wachache. Hivyo ni vyema wakajiuzulu hata kama...
  4. SEUTA II

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya JK mwisho wa mwezi huu hii hapa!

    Kama Rais wa nchi anayosababu ya kutoa maelezo ya kina juu ya mambo muhimu ya nchi hususani yale yanayolenga maslahi ya wengi kama hili la Escrow
  5. SEUTA II

    JamiiForums Tanzania Umoja wa maaskofu ukowapi kutoa kauli na waraka juu ya hili swala la escrow

    Ndugu zangu hawa viongozi wetu wa Dini pia ni Binaadamu hawawezi kuota au kujua kama pesa alizopewa na mmiliki wa akaunti hiyo ni mali ya mlipa kodi maskini wa Tanzania. Hivyo kabla ya kumtuhumu ni vyema kutoa nafasi ya upelelezi yakinifu na yeye baba Askofu kulitolea maelezo
  6. SEUTA II

    JamiiForums Tanzania DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

    Ni muda muafaka kwa vijana kukamata atamu katika nyanja muhimu za ungozi wa nchi ili kusaidia wale waliokosa fursa za kusoma kutokana na kadhia za kifisadi hawa wazee wanatia aibu nchi yetu yenye utajiri wa kila aina, Big up Zitto na kamati yenu.
Back
Top Bottom