Usijiumize bure kwa kufanya Conclusion wakati huna uhakika. Si amekuambia kuwa hamfahamu? Kwani haumuamini mchumba wako?Kama unamwamini msikilize. Kama humuamini usimuoe maana humpendi. Palipo na upendo kuna kuaminiana.
Wewe hujawahi kukosea namba ya simu? au hujawahi kupokea sms isiyokuhusu?
Pole. Hayo ndo mapenzi. Kama mngejua mapema mngefikiria kwanza hilo suala la dini. Lakini nataka kukueleza kuwa dini isiwe kikwazo cha ninyi kuharibu penzi lenu. Kama kweli mnapendana fanyeni utaratibu mfunge ndoa hata kama ni ya serikali alafu mtasawazisha masuala ya dini baadaye. Nahofia sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.