Kulialia ovyo kusije sikika kuwa wanauwa watoto na wanawake wakati wanafanywa ngao yao. Busara ni kuomba amani siyo kuchochea wakati waarabu ni dhaifu mbele ya mwanaume wao Israel
Laana ya
Laana ya Mungu iwapige watu kama hawa na kizazi chake chote. Wizi wa fedha za wastaafu ni watu kulewa madaraka waliyonayo kwa maana wao hakiwagusi. Kama hakina madhara kwa nini isiwe kwa watumishi wote?.
Wahuni ni wengi mandamano hayakuhusu unaumia na nini?. Kula kuku kwa Mbowe hakuna tofauti na wanaotaka kununua ndege ya viongozi wakati maisha ni magumu sukari tu ni shida je, maji, umeme vipo kwa hawa wasiokula kuku?.
Ni bora zipigwe kimyakimya kuliko kupigwa kwa urafi na matangazo huku watu wakiwa gizani ni aibu. Je wanaokula kwa kupiga kelele wamelifanyia nini Taifa hili?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.