Wassira atasubiri sana kwani hana sifa za kuwa Rais material,kwanza hata ktk jimbo lake hakubaliki na alipita kwa kumnunua mgombea wa cdm na kwa sasa pia analumbana na ESTHA BULAYA anayekuja kwa kasi jimboni humo.T.2015 ENL ndo suluhu ya JMT
Mwangaruka wasukuma wote waishio morogoro.
Naomba mje kishapu eneo la maganzo jirani na mwanza road idara ya Sekondari ili dada yangu aje hapo kwao morogoro na wilaya zake.
Ushauri kwa wana jf wenye malengo ya kubadilishana vituo vya kazi.
Nimegundua katika halmashauri zetu kuna matangazo mengi ya walimu wanaomba kubadilishana vituo vya kazi na mengi yao yamechakaa kwa kukosa majibu,Nawaombeni tukienda halmashauri tuwasaidie wenzetu kuleta data zao humu JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.