Kuna jamaa yangu akishalewa halafu watu wamsumbue utamsikia anasema 'Unajua mimi ni mbwaa me mbwaa we endelea tu' hapo ujue pombe imekaa pahala pake ila sio mgomvi ni biti tu.
Haya mambo magumu sana Mkuu. Nipo na co-worker wangu na ni junior kwangu ila mshamba sana nafanya kazi mimi yeye anakimbilia kwa boss kuripoti na anasema kafanya yeye. Jana nimwahi zangu mapema ananiuliza vp mzee kuna shida gani mbona umewahi sana, nikamjibu kwani tunapangiana muda kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.