Recent content by senyina

  1. S

    Mwanafunzi wa chuo aki-disco, mkopo anatakiwa kurejesha?

    na je kama huyo mtu akitaka kwe nda kusoma chuo kingine atapewa mkopo? au kuna mashar ti mengine?
  2. S

    Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

    Hawana sela hao ni majuha, hata kwenye kampeni za ubunge chalinze waliongea huo ujinga hatuku wasikiliza
  3. S

    JK afunguka kuhusu kustaafu kwake

    Mnyonge mngeni lakini haki yake mpeni, miaka ya nyuma wala sio nyuma sana, kwenda sekondari ilikuwa ni ndoto achilia vyuoni, lakini sasa angalau watu wana fika nakupata elimu, barabara hakuna ubishi, japo wanasema ni zimejengwa na mikopo ya wahisani mie silijari hilo, wanasema elimu ni kiwango...
  4. S

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Ukoloni bd unatusumbua, taifa teule gani linaua watu hovyo?wamisionari kwa gia ya dini ndo walifanikisha nchi zao kuja kututawala, huyo mchungaji unae msema amekuja kula sadaka za watz na kuja kutafuta fursa za biashara, mara uta sikia kafungua kanisa, mara atapora ardhi, kwa jinsi tusivyopenda...
Back
Top Bottom